Magonjwa ya kuku

MAREKS IS CURABLE ! 

JIBU

Hapana bado hakuna UTHIBITISHO wa kitabibu juu ya upatikanaji wa dawa ya mareks (mahepe)

NB: Zingatia chanzo ya MAHEPE siku ya kwanza baada ya kifaranga kutotoleshwa

 MAGONJWA YA KUKU

Kuku akishambuliawa na magonjwa mara nyingi uwa kuna dalili MBALIMBALI utokea 

Kuku ukosa NGUVU na kudhoofika

Kuku kupoteza hamu ya kula 

Upunguza utagaji wa mayai 

Ili kuepuka magonjwa hakikisha mambo yafuatayo 

Hakikisha kuku wanapewa chanjo zote muhimu

Hakikisha unatibu Ugonjwa husika kila wanapougua 

Hakikisha unazuia vyanzo vya magonjwa katika Banda lako

Soma na hii

Fanya haya ukiona kuku wako anaumwa gusa hapa 👉👉link1

DALILI YA MINYOO YA KUKU

1.Kuku kudhoofika na kutokua vizuri 

2.Kuku kufungua mdomo na kunyoosha shingo Wakati wa kupumua

3.Kupauka sehemu zisizo na manyoya sababu ya upungufu wa damu 

DALILI ZA MATEGE (Ricket)

1.Kupinda miguu sababu ya mifupa kuwa laini

2.Ncha za mifupa mirefu kuvimba

3.Kutembea kwa shida 

4.Kupungua uzito

Soma na hii

Fanya haya ukiona kuku wako anaumwa gusa hapa 👉👉link1

Post a Comment

Previous Post Next Post

Beauty

3/Beauty/post-per-tag

Labels

Nature

3/Nature/post-grid

Custom Widget

3/Business/post-per-tag

Facebook

Subscribe Us