TATIZO LA MIGUU YA VIFARANGA KUKOSA NGUVU

 TATIZO LA MIGUU YA VIFARANGA KUKOSA NGUVU

Mara nyingi wafugaji wafugaji wanalalamika kuhusiana na tatizo la miguu kwa vifaranga vyao. 

Tatizo hili chanzo chake kikubwa ni chakula kisichokuwa na madini yakutosha ya calcium(chokaa) na phosphorous(mifupa),  ni vyema kuwapa kuku chakula chenye madini yakutosha au chakula bora.  Wakati wakutengeneza chakula tuwashauri kutumia DCP ya chenga zaidi kuliko ya unga,  ingawa zote hufanya kazi sawa. 

Soma na hii

Fanya haya ukiona kuku wako anaumwa gusa hapa 👉👉link1

Namna ya kutibu

1.  chukua DCP wape kuku kwenye maji ya kunywa vijiko 5 kwa lita 10 za maji,  na kisha ongeza DCP kwenye chakula.

2.  Kama vifaranga vyako vimepiga msamba,  rudisha miguu kwa kuibana na kamba au bandeji kuinyosha,  baada ya siku kazaa miguu itakaa sawa.

Soma na hii

Fanya haya ukiona kuku wako anaumwa gusa hapa 👉👉link1

Post a Comment

Previous Post Next Post

Beauty

3/Beauty/post-per-tag

Labels

Nature

3/Nature/post-grid

Custom Widget

3/Business/post-per-tag

Facebook

Subscribe Us

Most Popular

Popular Posts