MFAHAMU KUKU WA ASILI (pure chicken)

MFAHAMU KUKU WA ASILI (pure chicken)

Kuku wa asili ni wale ambao damu yake aijachanganyika na kuku wa kigeni

Wana rangi na maumbile mbali mbali na inakadiliwa kuwa hapa tanzania kuna kuku wa ASILI zaidi million 58

Soma na hii

Fanya haya ukiona kuku wako anaumwa gusa hapa 👉👉link1

SIFA ZA KUKU WA ASILI

Kuku hawa hutoa mazao machache kwa maana ya nyama na mayai

Kuku wa asili utaga mayai 40-60  ndani ya mwaka mmoja , badala ya 100-150 Iwapo atatunzwa na kulishwa vizuri

Vivyo hivyo uzito wa kuku wa asili huko chini zaidi 

Wastani wa kilograms 1.0 - 1.5 badala ya 1.8 - 2.5 Iwapo atatunzwa na kulishwa vizuri

Wastahimilivu wa magonjwa lakini Ni vema uwape CHANJO (vaccine)

Wana uwezo wa kujitafutia chakula wenyewe , Ila ni vema uwape chakula bora cha ziada

Wana uwezo wa kuatamia mayai , kutotoa na kulea vifaranga katika mazingira magumu

Vile vile Wana uwezo wa kujilinda na kulinda vifaranga dhidi ya adui Kama(defense mechanism)

Nyama na mayai vina radha nzuri kuliko kuku wa kisasa

Soma na hii

Fanya haya ukiona kuku wako anaumwa gusa hapa 👉👉link1

MFAHAMU SASSO

Sasso ni Aina ya kuku vile vile ni brand name ya kampuni kubwa ya kuku iliyopo ufaransa ilianzishwa mwaka 1978

Sasso ni free range chicken , unaweza kuwafuga huria na wanauwezo wa kujitafutia chakula chao wenyewe

Sasso ni coloured brees sababu Wana rangi mchanganyiko na ata vifaranga vyao uwa na rangi tofauti

Wanauwezo wa kutaga mayai 150+  na kuendelea kwa mwaka ikiwa utawalisha vizuri

Ni kuku  wanaotumika kwa  mayai pamoja na nyama  , uanza kutaga kuanzia miezi 5 - 6

Tetea anaweza kufikisha uzito wa kilograms 3.5 hadi 4 Kama akilishwa vizuri

Jogoo anaweza kufikisha uzito wa kilograms 4.5+

Soma na hii

Fanya haya ukiona kuku wako anaumwa gusa hapa 👉👉link1

Post a Comment

Previous Post Next Post

Beauty

3/Beauty/post-per-tag

Labels

Nature

3/Nature/post-grid

Custom Widget

3/Business/post-per-tag

Facebook

Subscribe Us