MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKA VIFARANGA

 MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKA VIFARANGA


1.Chakula cha kuku kiendane na umri wa kuku husika , unaweza kuchanganya mwenyewe au kununua dukani 


2.Ukichanganya mwenyewe hakikisha anatumia formula sahii yenye uhakika


3.Hakikisha vyombo vya maji vinakua safi muda wote 


4.Hakikisha vifaranga wanapewa chakula wanachoweza kumaliza 


Post a Comment

Previous Post Next Post

Beauty

3/Beauty/post-per-tag

Labels

Nature

3/Nature/post-grid

Custom Widget

3/Business/post-per-tag

Facebook

Subscribe Us