HOMA YA MATUMBO / FOWL TYPHOID

 HOMA YA MATUMBO / FOWL TYPHOID


Ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea aina ya salmonella pallinarum 

Soma zaidi

Mbinu za kutibu mafua ya kuku kwa haraka gusa hapa link 1

Dalili za homa ya matumbo


1.Kuhalisha kinyesi rangi ya nyeupe au kijani , njano na majimaji


2.Kuku kukosa hamu ya kula na kunywa 


3.kuku kuwa dhaifu na kuzubaa


4.Vifo hutokea kwa asilimia 50


5.Utagaji upungua kwa kuku wazazi


Kinga 


Usafi bandani 

Chanjo


Tiba 


Furazolifone 

Trisulmasyne

Esb3

Soma zaidi

Mbinu za kutibu mafua ya kuku kwa haraka gusa hapa link 1

Post a Comment

Previous Post Next Post

Beauty

3/Beauty/post-per-tag

Labels

Nature

3/Nature/post-grid

Custom Widget

3/Business/post-per-tag

Facebook

Subscribe Us